Thursday 14 April 2016

Lady Jaydee’s Message Of Hope To Ray C


lady_jaydee

Ndindindi hitmaker Lady JayDee is currently in Tanzania to promote her music months after relocating to Germany. However she took sometime off to catch up with her old friend, Ray C, who was rumoured to have gone back to abusing drugs.
The two fine ladies met up for a private meeting and even had the chance to pose for a photo. Lady Jaydee shared the photo through her official gram but what impressed many is how she captioned it.Ray-C_2
The singer praised Ray C and gave her words of hope encouraging her to continue aiming higher despite the many challenges she has faced in the past few years. She wrote to say,
A message of Hope: Kila mtu anapitia magumu katika maisha kwa njia tofauti hakuna jaribu lisilo na mlango wa kutokea. Amini na amua nakupa moyo na Mungu akusaidie kwa yote unayopitia akuondolee akuepushie na akupe kufahamu na kukiri mabaya. Watu wanakupenda nakumbuka tulivyoanza kimtindo nai miss competition pls Come Back naamini bado unayo nafasi . Binti
amka jikaze anza mwendo, umrembo na bado wang’ara . Ni baada ya miaka 6 tangu kuonana mara ya mwisho, story nazo ni ndefu na nyingi Ombi: Tuheshimu na kuhurumia matatizo ya wengine, tafadhali msi
comment vibaya wala kwa kejeli. Lolote linaweza kumfika yoyote Saa yoyote Tuonyeshe Mapenzi
#PowerOfPositivity

0 comments:

Post a Comment